Ebook ya Kiswahili
Uza Online Bila Duka
Jifunze mbinu rahisi za kuuza mtandaoni bila kuwa na duka la gharama, na jinsi ya kurusha matangazo ya sponsored ads kwenye Instagram na Facebook.
Tsh 10,000/= tu — Softcopy (PDF)
Utakachojifunza Ndani ya Ebook
Mafunzo kamili ya kukuwezesha kuanza na kukuza biashara yako mtandaoni, hatua kwa hatua.
1. Kuanza Biashara Mtandaoni
- Kwanini biashara mtandaoni imekua maarufu Tanzania
- Faida na hasara ya kufanya biashara mtandaoni
- Changamoto za kufanya biashara mtandaoni ukiwa Tanzania
- Mambo ya kuzingatia kabla ya kuchagua bidhaa ya kuuza mtandaoni
2. Kujenga Jina Lenye Nguvu Mtandaoni
- Jinsi ya kujenga jina lenye nguvu mtandaoni
- Vitu vya kuzingatia kwenye kujenga jina mtandaoni
- Jinsi ya kubadili jina la biashara yako Instagram
- Jinsi ya kufungua page ya biashara Facebook
3. Kutengeneza Content Inayouza
- Namna ya kuandaa picha ya kupost mtandaoni
- Application nzuri za kueditia picha zako
- Jinsi ya kuandika caption ya mtandaoni
- Muda mzuri wa kupost Instagram na Facebook
4. Malipo na Matangazo (Ads)
- Jinsi ya kutengeneza M-Pesa Visa Card
- Jinsi ya kutengeneza Yas Mastercard
- Hatua 8 za kurusha tangazo la sponsored Instagram
- Hatua 12 za kurusha tangazo la sponsored Facebook
5. Bonus: Mbinu za Ziada
- Mambo 7 ya kufanya asubuhi ili upate wateja online
- Mbinu 6 za kuuza bidhaa iliyokudodea
- Makosa 9 yanayokukosesha wateja online
- Sehemu 6 mbaya kujitangaza online
Tsh 10,000/=
eBook (Softcopy/PDF) — Hakuna Hardcopy. Inatumwa WhatsApp mara baada ya malipo.
Jinsi ya Kulipia
Lipa TZS 10,000 kupitia M-Pesa
Tumia Lipa Namba: 353574117 (Jina: Optiza Digital).
Tuma Uthibitisho wa Malipo
Piga picha ya muamala wako na tuma WhatsApp: +255 786 137 760.
Pokea Kitabu Chako
Utatumiwa Ebook (PDF) papo hapo kwa WhatsApp.
Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara
Je Unanitumia kwa njia gani?
Kitabu ni softcopy kwahiyo nakutumia kwa WhatsApp baada ya kufanya malipo!
Nikipoteza unaweza nitumia tena?
Ndio, nakutumia tena kwa njia ya WhatsApp!
Je nikiwa na swali naweza kuuliza?
Ndio, ukikwama mahali unaweza kuuliza swali na mimi coach wako nitakujibu na kukuelekeza tena!
Ebook (softcopy) ni shilingi ngapi?
Tsh 10,000 tu, na unalipia kwa M-Pesa Lipa Namba 353574117 (Optiza Digital). Baada ya hapo tuma muamala wako WhatsApp +255 786 137 760 nikutumie kitabu chako!
Hakuna Hardcopy?
Hakuna, kitabu kinapatikana kwa softcopy (PDF) pekee.